1 Corinthians 3:19-20

19 aKwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,” 20 btena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Copyright information for SwhNEN